TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, April 16, 2013

MUONEKANO MPYA WA SEHEMU YA CHAKULA YA NEW MAISHA CLUB DAR

Huu hapa muonekanao mpya wa sehemu ya kupatia msosi pale NEW MAISHA CLUB DAR iko na  makochi mazuri yakukuwezesha kuwa comfortable kwa ajili ya kupata chakula bora na kizuri. 

 Unaweza kujipatia chakula 24 hours mchana na usiku, wanapokea hoda mbali mbali za vyakula na ni sehemu poa sana kwa muda wa mchana unaweza kupita maeneo hayo nakujipatia msosi mzuri.






Kuna vyuku vyakutosha vinapatikana hapa.kuanzia mapema sanaa. unakaribishwa BAR iko wazi kuanzia asubuhi na supu ya nguvu inapatikana pale.KARIBUNI SANA

No comments:

Post a Comment