TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, March 20, 2013

KUNDI LA SHOSTEEZ LAZIDI KUKUBALIKA NA KUPAA

 

 Shosteez wazidi kupaa!! Hivi karibuni imebainika kuwa Salma Mahin, Menynah Atick na Nuru wamekula shavu la kufanya tangazo la kinywaji kikubwa duniani na sasa wanakuja na kipindi chao cha Television chini ya usimamizi wa Lamar. Tunasubiri kwa hamu mambo mengi kutoka kwao...tuendelee kuwapa support wazidi #KUFUNGUKA!

MENYNAH

Salma and nuru

SHOSTEEEZ

  Menynah

No comments:

Post a Comment