TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, March 29, 2013

KIWANJA KIPYA CHA BURUDANI KIMEFUNGULIWA KINONDONI THE JACARANDA

 

 THEJACARANDA ndio jina la chimbo jipya la vijana lililopo maeneo ya kinondoni pembeni ya bar ya UHURU PICK na inatizamana na MANGO GARDEN. Tukiongea na manager wa kiwanja hiko cha kijanja JULIE alisema '' jumamosi hii ya mkesha wa pasaka ndio kitazinduliwa rasmi kabisa ambapo kutakuwa na burudani mbali mbali,na muziki mnene utakaoporomoshwa na madeejayz wakali wa hapa jijini,

 Kiukweli ni sehemu nzuri sana ambayo unaweza ukakaa na kufurahia,na kujisikia ukiwa comfortable kabisa

 Patakuwa panafunguliwa kila siku kuanzia jumatatu mpaka jumapili,utapata vinywaji baridi na chakula cha moto kabisa.

 NI Sehemu ambayo inaweza kuwakutanisha watu tofauti ,wakiwepo wale wastarabu,na madili yao wanaweza kukutana hapo muda wa mchana nakuongea bila bugza yoyote ile.

 Huyu ndio mANager wa hii club ya jacaranda

 Mandhari tulivu kabisa

 Kutakuwa kunapatikana SHISHA,kuna sehemu ya SMOKING ROOM,NA vyoo vyakutosha kwa kila jinsia.

 Kwa wale wapenda SOKA kuna big screen kila kona ya club hii, na wanaonyesha  mpira kutoka kwenye LIGI za ukweli dunia muda wowote.











Kutakuwa na kiiingilio siku za wikiend hili kupata burudani safi kabisa

No comments:

Post a Comment