TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, March 25, 2013

CHIDY BENZI AMPA KICHAPO KIKALI MANGWEAR

 

 Msanii wa hih hop chid benz usiku wa juzi katika club moja ya usiku iliyopo maeneo ya mjini alimpiga ngumi nyingi sana msanii mwenzake mangwear mpaka kulazwa na kushonwa nyuzi zisizopungua kumi.

 alipoulizwa kuhusu sakata hilo alikubali na kusema pombe ndio imesababisha kutokea ugomvi huo.

 chidy benz

Mangwear Na t.i.d

No comments:

Post a Comment