Pages

Tuesday, June 24, 2014

NAKAAYA AMUANIKA MTOTO WAKE HADHARANI YADAIWA AMEFANANA NA MH FURANI... LAKINI BABA HALISI WA MTOTO BADO HAJAMUWEKA HADHARANI..!



Nakaaya 1
Kwenye picha za watoto na mama zao hii ni moja ya zilizonivutia! katoto kazuri sana.
Ni longtime kidogo ulikua hujamsikia Nakaaya na hii ni kwa sababu alikua na break ya uzazi akiwa ndio amejifungua mtoto wake wa kwanza nyumbani kwao Arusha.
Mwimbaji huyu ambae ujazo wa jina lake uliongezeka baada ya kutoa ile single ya ‘Mr. Politician’ sasa hivi anamiliki mawimbi na single yake mpya inaitwa ‘blessing’ aliyoifanya Noizmekah Arusha.
Nakaaya ameamua kuifanya hii single mpya kama dedication kwa mtoto huyu aitwae Kai kuonyesha ni jinsi gani amemgusa moyoni, vilevile kumpa ahadi ambayo ni mama pekee anaiweza.

No comments:

Post a Comment