Pages

Friday, June 20, 2014

FILAMU YA SARAFINA YAENDELEA KUPIGWA MARUFUKU NCHINI MARUFUKU UKIKUTWA UNAONESHA SEHEMU ZA WATU UNAKAMATWA NA KUFUNGULIWA MASKATA YAELEZWA INAWAKUMBUSHA WATU MACHUNGU YA UBAGUZI. XDEEJAYZ INAKUPALIVE







































Ile filamu maarufu Duniani ya SARAFINA iliyojinyakulia umaarufu mkubwa imeendelea kupigwa marufuku kuoneshwa sehemu za wazi na onyo kali limeendelea kutolewa na Serikali ya nchi hiyo kwa m2 yeyote atakaekutwa anaionesha filamu hiyo sehemu za wazi basi atakamatwa na kutupwa lupango bila huruma. Hata hivyo sababu ya kuizuina filamu ilielezwa ni jinsi ambavyo vizazi vipya havitakiwa kujuwa ukatili uliokuwa unafanyika miaka hiyo toka kwa Wazungu dhiti ya waafrika.
SOURCE: XDEEJAYZ TANZANIA

No comments:

Post a Comment