Pages

Wednesday, May 28, 2014

ONYO KALI, CHUNGA SANA NAMBA HIZI ZA MATAPELI WA MJINI, WAMESHAWALIZA WANANCHI WENGI JESHI LA POLISI LAWATANGAZIA KIAMA KUANZIA SASA NI KWENYE OPARESHENI YA KUKAMATA WAHALIFU UNAOENDELEA SASA..!

CHUNGA SANA NAMBA HIZI   ZASIMU ZINAZOTUMIWA NA MATAPELI JIJINI DAR NA MIKOA MINGINE..!
1.0715-426676- Huyu hujifanya yupo Rufiji fundi mkuu
2.0762-601106- Huyu hujifanya meneja wa mladi
3.0783-068678- Huyu ndiye mtafuta Tenda
4.0789-897474- Huyu anajifanya Afsa Suma JKT
Wanambinu nyingi za kumuingiza mjini mtu na tayari wameshawaibia wananchi wengi sana hujifanya wapo 
Hata hivyo taarifa zilizonaswa na blog hii zinasema kuwa Jeshi la Polisi Kinondoni limeanza msako wa chini kwa chini kuanzi tarehe ya leo 28/5/2014 ili kuwanasa watuhumiwa hawa kwani wamekuwa kero kubwa kwa wananchi.

No comments:

Post a Comment