WALIOMTUKANA MKE WA MH: SUGU MTANDAONI KUKIONA CHA MOTO, KUKAMATWA MMOJA BAADA YA MWINGINE UCHUNGUZI WA KUWANASA WAANZA..!
Huko
instagram kumekuwa hakuna amani kabisa watu wamekuwa wanafunguka vile
wanavyojisikia kwa wakati wowote ule. safari hii wamemgeukia mke wa
mheshimiwa mbunge Sugu.
NANUKUU "Hahaha
mjini sihami Mimi haya andaeni popkorn dada Faiza ally ex Muke Ya
muheshimiwa SUGu kiko wapi Leo manina zako! Watu walikua hawalali kila
mtu unamuona Mavi ukiuliza mke wa muheshimiwa umalaya wako umeishia wapi
mwanamke malaya hadi umeshindikana umejiuza kwa wazungu soko likaisha
ukakimbilia kwa Mkenya ukabeba mimba mkenya akakufumania na mimba kubwa
kipigo chake hadi mimba ikatoka na ndoa ikaisha kuona huna soko
ukajiingiza Bongo movie ili upate bwana ukaopoa SUGu mamayangu
hatujalala hizo status zako Za majivuno utafikiri unakunya gold hadi
ndugu zako wanakusema umeroga ukaona mmh ukaamua kubeba mimba haya
ukamtukana mke wa SUGu aliezaa nae kisa eti wewe ndio unaependwa
ukamtukana jackyline cliff Mama Ya sembe kua kaachwa na SUGu wewe ndio
mwenye Nyumba una laana wewe ukajivalisha na Pete madai yako SUGu
kakuvalisha SUGu kajenga mjengo ukauringushia wee Facebook kua utaingia
humo muda si mrefu mwezangu Leo kiko wapi tupwa kuleee SUGu kamrudia
Mama Mtoto wake We huna chako tatizo mdomo ndugu yangu mdomo unaponza
jamani hata ndani hujaingia ukaanza jeuri ! Jeuri yenyewe unamfanyia
nani eti SUGu We unamjua SUGu au umemuonea bungeni wote mnamidono harafu
mwenzuo SUGu jeuriiiii aaah jifunze utu Mama Sasha nakupa ujumbe
usiroge maana SUGu katamabikiwa balaaa Yani ndio unamfukuza sasa hivi
muombe mungu ... Ila. Umekua mpole sasa hivi status Za heshima sasa
chezea jiji. Hata hivyo habari zilizoifikia Xdeejayz zinasema kuwa wale wote walimtukana First Lad huyo wa Mh Sugu huenda wakakamatwa mara moja na tayari jopo la maofisa wa Serikali ambao wanadili na kukamata waharifu wa mitandaoni.
No comments:
Post a Comment