Pages

Saturday, March 22, 2014

MME WA MBUNGE WA KIKE ALIYENASWA AKILIWA MATE NA DJ MAARUFU MKOANI DODOMA AIBUA MAZITO, ANGALIA HAPA KILICHOTOKEA..!

Huyu ni Dj Maarufu Mkoani Dodoma akifanya yake na Mheshimiwa Mbunge wa Bunge la Katiba katikati ya wiki hii Mkoani Dodoma.

Mme wa MH Mbunge wa Bunge la Katiba aliyefahamika kwa jina la Nyakulinga ameibuka na kudai kumtambua mkewe kwenye picha hiyo akiliwa mate na Dj nyota. 

No comments:

Post a Comment