Pages

Sunday, March 30, 2014

KIUNO CHANGU KINANIPA FAIDA SANA SIJUI NISINGEUMBWA HIVI NINGEIISHIJE LEO HII?-MASOGANGE


Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’

VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio.asogange aliiambia XDEEJAYZ kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu." Na kuongeza kusema kiuno chake kimekuwa deal sana hapa mjini

Makalio ya Agnes Jerald ‘Masogange’.
 CREDIT:XDEEJAYZ TANZANI

No comments:

Post a Comment