Pages

Wednesday, February 26, 2014

RUSHWA YA NGONO INAUA MUZIKI WA INJILI ASEMA-MARY CHOLOBI..!


Na Sakina Shabani
Mwanamuziki chipukizi wa nyimbo za Injili nchini, Mary Michael Cholob (29) ametoboa siri kubwa inayowatafuna waimbaji wa nyimbo za Injili, kwamba ili watoke ni lazima washiriki rushwa ya ngono iliyokithiri
"HABARI ZAIDI ZINAPATIKANA NDANI YA GAZETI LA MASKANI BONGO LEO"

No comments:

Post a Comment