Mh
 Shabiby ambaye ni Mbunge na pia ni mfanyabiasha maarufa sana wa ndani 
na pia nje ya nchi inasemekana, na pia ni habari yenye uhakika kabisa 
baada ya paparazi wetu kupekua huku na kule juu ya Mh huyu mkongwe 
kwenye biashara, Paparazi wetu ametutonya kwamba Mh Shabiby Amefanya 
kufuru 
 ya pesa baada ya kununua mabasi mapya kabisa  kumi na sita (16) ambayo 
ambayo ni New Model na hayajawahi kuingia Africa kabisa, Na amenunua 
yote 16 kwa wakati mmoja, na pia  chanzo cheti cha kuaminika kiliendelea
 kututonya kwamba baada ya kuingia hayo mabasi 16,yatakuja mengine mengi
 zaidi ya hayo ambayo bado hayajajulikana yatakuwa mangapi, Unaambiwa 
basi hizo kwa zipo kwenye maji zinakuja nchini: 
   
   | 
  | 
No comments:
Post a Comment