Pages

Wednesday, January 29, 2014

HIVI NDIVYO MAJAMBAZI WALIVYOSAMBARATISHA KICHWA CHA MFANYABISHARA HUYU KWA RISASI..!

Mwili wa marehemu Ahmed Bakhshuwein baada ya kupigwa risasi
Mfanyabiashara, Ahmed Bakhshuwein ameuawa kwa kupigwa risasi tatu kichwani akiwa kwenye gari eneo la Malindi, Mombasa karibu na Al-R azaak Stores nchini Kenya."GAZETI LA MASKANI BONGO NI ZAIDI YA GAZETI HAKIKISHA UNAPATA KOPI YAKO MAPEMA KILA JUMATANO
 

No comments:

Post a Comment