Pages

Tuesday, November 26, 2013

TIGO YAMPONZA KIGOGO HADI KUFUMANIWA ALIA NA KUSEMA WANAE WAMSAMEHE KWA AIBU ALIYOWAPATIA AMSHUTUMU MKEWE KUMNYIMA "SAUNA" NDIO MAANA AMEKUWA AKIHANGAIKA!!!


WANASEMA za mwizi arobaini, ikiongezeka moja mshukuru Mungu! Novemba 16, mwaka huu ilikuwa siku ya aibu kwa bosi Hussein Shaban (35) kufuatia kudaiwa kufumaniwa katika nyumba ya kiongozi mmoja wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Tegeta jijini Dar es Salaam.


 

 
 
...akizidi kutembezwa mtaani.



Hussein akiwa ndani ya gari la polisi waliofika kumnusuru.

No comments:

Post a Comment