Pages

Monday, September 30, 2013

HII NDIYO SHERIA BWANA.ALIYETUHUMIWA KUMTEKA NA KUMTESA DR ULIMBOKA AHUKUMUIWA JELA MWEZI MMOJA AU KULIPA FAINI YA ELFU KUMI!

Joshua Mulundi (21) raia wa Kenya aliyekuwa anatuhumiwa kumteka na kumtesa Dk Ulimboka na baadaye kuachiwa huru na mahakama na baadaye kufunguliwa kesi ya kulidanganya jeshi la polisi, ahukumiwa kifungo cha mwezi mmoja jela ama kulipa fine ya shilingi elfu moja (1000) baada ya kukiri kosa lake. 

Hata hivyo mshtakiwa huyo alifanikiwa kulipa faini hiyo na hivyo kuachiwa huru baada ya mmoja wa waandishi wa habari kumopatia hiyo pesa

No comments:

Post a Comment