BONDIA WA KIMATAIFA FRANCIS MIYEYUSHO ASHAURIWA KUACHANA NA MAPAMBANO YA USWAHILINI KWANI YANASHUSHA HADHI YAKE!
Bondia
Sadiki Momba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na
Fransic Miyeyusho wakati wa mpambano wao usiokuwa wa ubingwa uliofanyika
siku ya jumapili katika ukumbi wa Friends Coner Manzese Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa pointi.
Bondia Sadiki Momba kushoto akioneshana umwamba wa
kutupiana makonde na Fransic Miyeyusho wakati wa mpambano wao usiokuwa
wa ubingwa uliofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa Friends Coner Manzese Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa pointi.
refarii
Sako Mtlya akimnyoosha mkono juu bondia Fransic Miyeyusho baada ya
kumgalagaza Bondia Sadiki Momba wakati wa mpambano uliofanyika jana kwenye ukumbi wa
No comments:
Post a Comment