Pages

Thursday, August 29, 2013

GK WA EAST COAST AIBUKA TOKA MAFICHONI, AMEKUJA KUWASHIKA KIVINGINE!




Baada ya kupotea kwenye muziki kwa muda mrefu sana Crazy Gk amerudi kwa kishindo na kuzindua wimbo wake mpya huku akisindikizwa na timu ya East Coast Team.
Sababu kubwa iliyopelekea King Crazy Gk kupotea kwenye game kwa muda mrefu ni kwamba msanii huyu alikuwa kwenye masomo akitafuta degree.

No comments:

Post a Comment