Pages

Wednesday, June 26, 2013

KAMANDA KOVA AONYA KUHUSU ULINZI WAKATI WA UJIO WA RAIS OBAMA!

 Kamanda Kova ameonya vikali kwa mtu au kikundi chochote kitakachothubutu kuvunja amani wakati huu wa ujio wa Rais Obama wa Marekani.
Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar imetoa angalizo kwa mtu yeyote atakaejaribu kuvuruga amani kuanzia wiki hii hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

No comments:

Post a Comment