Pages

Thursday, May 30, 2013

KIKAO CHA WASANII KUHUSU KUCHAGUA WASIMAMIZI WA MSIBA

 
 Mwenyekitu wa msiba wa marehemu albert magwea ADAM jJUMA akiongea na wasanii kuelekeza juu ya msiba ulipo pamoja na sehemu yakwenda kumzika marehemu albert magwea alisema " msiba utafanyika mbezi beach kwa kaka yake na marehemu na kuzika atazikwa kihonda morogoro baada ya mwili wa marehemu kuingiua nchini ratiba zingine zitafatwa.
 prof j akiongea na waandishi wa habari
 
 
 Flaviana matata na barnabas walikuwepo
 wasanii walionekana kuwa na uzuni mkubwa
prof j

No comments:

Post a Comment