| LOCATION ILIANZIA HAPA.... |
| Matayarisho yakianza....!! |
| Lights On.....Camera On Set....!! |
| Mara Bangi ,Mara Matusi sa ndo Muziki gani....? |
| Usafii kama kawaida yangu.....!! |
| DJ Ommy Crayz the only handsome dj in town akiwa na msanii nguli kutoka South Africa Qboy Mnyama....!! |
| Dada yangu kipenzi Halima kimwana alikuwepo asubuhi asubuhi kuakikisha mambo yakienda saawia...along side with Twins Fashion...!! |
| Diamond Platnumz with Flowers....! |
| From Left to Right.....Qboy Mnyama...Esma Khan,Faridah,Mariam and the President Himself Diamond...!! |
| Bebez wakali waliofurika kushow Love kwenye video ya Muziki Gani...! |
| President wa wasafi Diamond Platnumz akiwa na flowers...! |
| The Bigdaddy Himself Adam Juma akifanya yake....!! |
| Ilikuwa Location upande wa Casino..... |
| Baada ya kumaliza shooting ya pale casino,safari ilianza kuelekea sinza kumaliza shooting kwenye Graphic iliyochorwa na Mkong'oto Jazz Band....!! |
| WASAAAFIIIIII......!! |
| Maandalizi yakaanzia hapa...baada ya kuwasili sinza....!! |
| MKONG'OTO JAZZ BAND....!! |
| Jamaa huyu ndo aliechora graphics zote kutoka mkong'oto jazz band na kuchora michoro tofauti ....!! |
| on set...location #2 sinza....... |
| DJ OMMY CRAYZZ...! |
| Kwa michezo ya kuringa ringa ndio wanadata.... |
No comments:
Post a Comment