Pages

Wednesday, January 30, 2013

BAMBO AUGEUKIA MUZIKI WA INJIRI, AINGIA STUDIO!

 Dickson Samsoni Makwaya a.k.a Bambo

Na Livingstone Mkoi
Msanii nyota wa maigizo nchini Dicksoni Samsoni Makwaya a.k.a Bambo ameingia studio kurekodi muziki wa injiri akiwa na mchungaji maarufu nchini.
Akiongea na Xdeejayz juzi Bambo alisema alifatwa na mchungaji Leonard Gaspa wa kanisa TAG Mkoani Mwanza na kumtaka kushirika kwenye wimbo wake mpya ambapo alikubari.
Bambo aliongeza kusema kuwa wameshaingia studio tayari na wamekamisha kurekosi wimbo huo unataitwa Tumekuwa Wakiristo.

No comments:

Post a Comment