Pages

Sunday, August 26, 2012

VIONGOZI MBALIMBALI WAWA MSTARI WA MBELE KUHESABIWA KWENYE SENSA

 
 Waziri mkuu mizengo pinda akihesabiwa kijijini kwake kibaoni mkoani katavi leo hii.
 Mkuu wa wilaya ya singida mwalimu queen mloz, akihesabiwa na karani wa sensa nyumbani kwake leo asubuhi.
waziri mkuu mizengo pinda na karani wa sensa

No comments:

Post a Comment