Afande Machemba katika ubora wake akiwa kwenye picha ya pozi dakika chache kabla ya kuingia Location kukamua kwenye moja ya filamu alizoshirkishwa hivi karibuni huko Mkoani Arusha mara baada ya kupokea mwaliko toka kwa wasanii wa huko wakimtaka akacheze filamu.
Afande
Machemba
Marehemu Steven Kanumba ambae ni kabila moja na Afande Machemba wote ni Wasukuma.
Na Mwandishi Wetu-Mwanza
Msanii Kinda toka kiwanda cha filamu za Kitanzania Joseph Machemba ameendelea kuwa gumzo nchini na safari hii mashabiki wa filamu toka Kanda ya Ziwa wamejikuta wakibubujikwa na machozi mara wanapoongalia filamu alizocheza msanii huyo toka Shinyanga ambae kwa sasa amehamishia makazi yake Jijini Dar huku wengi wakimfananisha na Marehemu Kanumba.
Mmoja wa wadau wa filamu Mkoani Mwanza aliyejitambulisha kwa jina la Majiha Mankunga alisema' Jamani tunamshukuru Mungu kwa kutupoza machungu tuliyoyapata miaka kadhaa iliyopita kwa kuturudishia mtu mwingine muhimu kwetu, huyu Afande Machemba hakika ni kama Kanumba amezaliwa upy" Alisema mtu huyo ammbae ni msambazaji wa filamu za kitanzania kanda ya ziwa
Msanii Joseph Machemba ambae kwa sasa anatamba kwenye filamu za Bifu la Kitongoji na Filamu ya AKIRI NYINGI ambazo ndani yake msanii huyo ameonesha uwezo wa ajabu kiasi cha kuwashangaza mastaa mbalimbali wa bongo movie kwa kipaji alichokuwa nacho Afande Machemba, Huku watanzania wengi wakimtakia kila raheli msanii huyo kwa juhudi zake
TANGAZO MAALUM
.
TANGAZA NA SISI
Thursday, January 28, 2016
Saturday, January 23, 2016
WACHUNGAJI, MASHEKH WAWACHARUKIA RAIS MAGUFULI, DC MAKONDA NA LUKUVI, WAFUNGA SIKU 40, WASEMA MUNGU ATAKACHOWAFANYIA ULIMWENGU UTAJUA...!
Mmoja wa wazee wa Kanisa la Hossana akiwa kwenye hisia kali ya maombi kwa Mungu
Mchungaji Mkuu wa Kanisa la Hosana Mch Mzola
Waziri wa Ardhi Mh Lukuvu kwa sasa yupo chini ya maombi hayo ili afanye maamuzi sahihi.
Mchungaji Amos Mbena Mchungaji Mkuu wa Kanisa la Pentecostal Holness Mision lililopo Kimara lakini mchungaji huyo amekuwa akiguswa sana na mgogoro huo hivyo nae ameungana kuongeza nguvu ya maombi ili viongozi hao wasikie kilio cha wananchi hao.
Shkhe Sharif Khamis kijana mwenye nguvu ya ajabu kwenye maombi nae ameungana na watumishi hao mbalimbali na wananchi kwenye maombi ya kumaliza mgogoro wa ardhi wa eneo hilo.
Wakina mama na watoto ambao kwa sasa wanaishi mazingira magumu baada ya nyumba zao kubomolewa na polisi kwa shinikizo la mafisadi, wakimlilia Mungu wao.
Na Mwandishi wa Maskanibongo Gazeti
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mheshimiwa Paul Makonda, Rais Magufuli na waziri wa Ardhi Mheshimiwa Lukuvu wapo chini ya maombi makali ya siku 40.
Wakazi wa Kata ya Wazo kwenye Mtaa wa Nyakasangwe na Nyakalekwa wakishirikiana na mashekh na wachungaji wameanzisha maombi hayo maalum kwa ajiri ya Mungu kuwafungua viongozi hao ili wamalize mgogoro huo ndani yake wenye harufu ya rushwa na ufisadi huku maafisa Ardhi na watu wa Mipango Miji Manspaa ya Kinondoni wakitajwa kuhusika.
Wakiongea kwa nyakati tofauti wachungaji wa makanisa yaliyopo Mitaa ya Nyakasangwe na Nyakalekwa walisema" Tupo kwenye maombo haya ili Mungu awafungue viongozi wetu kwa vile wao ndiyo wenye mamlaka ya mwisho wamalize hili jambao kwani tunaamini Tanzania kwa sasa imepata rais ambae watanzania walikuwa wakimuhitaji hivyo tumeona ni vyema tukamlilia Mungu azidi kumfungua zaidi na kuona hata mgogoro uliopo kwenye mtaa wetu " Alisema Mchungaji Mzola
Hata hivyo wachungaji hao waliendelea kusema kuwa kazi kubwa aliyoifanya Mheshimiwa Paul Makonda ni kubwa sana na hakika sasa mahara alipofikia anahitaji nguvu ya maamuzi ya Mheshimiwa Waziri Lukuvi na Rais kwa vile mtandao alioukuta mheshimiwa Makonda kwenye mgogoro wetu ni mkubwa na inaelezwa ndani yake kuna baadhi ya vigogo wa Ardhi Manspaa.
Wakazi hao waliendelea kusema Mheshimiwa Makonda amediliki kuhatarisha maisha yake kwa kupigania haki ya wananchi licha ya kwamba amekuwa akikutana na vikwazo kutokana na kuzungukwa na watu ambao hawapo upande wake bali wakiwa upande wa mafisadi hivyo sasa ni zamu ya Waziri kumpa meno ya yenye makali kumaliza mgogoro huo kwa kutoa maamuzi yatakayoondoa kabila mgogoro huo.
Mtaa wa Nyakasangwe na Nyakalekwa inaongozwa na Mwenyekiti wake Peter Bilebela ambae amekuwa kipenzi cha wakazi hao kutokana na utendaji wake wa hali na kuogpa rushwa kama ukoma, hali hiyo imepelekea kuchukiwa na upande wa pili wa mafisaidi kiasi cha kumtengenezea zengwe kila kukicha kwa kutumia pesa waliyokuwa nayo
Friday, January 22, 2016
HATARI YA NJAA MPWAPWA DODOMA: WANANCHI WASHINDIA MBOGA ZA MAJINI KUNUSURU MAISHA YAO, WAMTOLEA UVIVU MBUNGE WAO MWENYE TABIA YA KUKAA KIMYA BUNGENI, WAMTAKA ASIONE AIBU AOMBE MSAADA ILI KUOKOA MAISHA YAO, PICHA HIZI HAPA....!
Thursday, January 21, 2016
BONGO MOVIE YAWEKWA CHINI YA ULINZI MKALI NA AFANDE MACHEMBA, WATANZANI WASEMA AFANDE HUYO PEKEE NDIYE ANAEWEZA KUVAA VIATU VYA MAREHEMU KANUMBA..!
Afande Machemba akiwa mzigoni ambapo Watanzania wengi wamefurahishwa na kipaji cha msanii huyo toka Kanda ya Ziwa ambae kwa sasa amehamishiwa jeshi lake Jijini Dar ili kuikomboa tasnia hii ya filamu ambayo hadi sasa imebaki na wauza sura tu.
Afande Machemba akiwa kwenye moja ya sinema zake
Afande Machemba akiwa kwenye majukumu yake kikazi
Na Mwandishi Wetu
Matumaini ya watanzania yaliyokuwa yamepotea baada ya msanii aliyekuwa na uchungu na Tanzania pamoja na Tasinia ya Filamu marehemu Steven Kanumba kuondoka Dunia, hatimae sasa yameanza kurejea baada ya msanii Kinda mwenye kipaji cha ajabu kwenye kuigiza Joseph Machemba maarufa kwa jina la "Afande Machemba" kuonesha anaweza
Msanii huyo mwenyeji wa Kanda ya Ziwa akitoka Mkoa wa Shinyanga kwa sasa ndiye amekuwa habari ya mjini kwenye tasnia ya filamu baada ya kuonesha uwezo wa kipekee kwenye moja ya filamu zake alizoshirikishwa ambapo zote zipo mtaani kwa sasa.
Filamu alizoonekana Afande Machemba ni pamoja na, Karoge Tena, Night Dress, Akiri Nyingi, Siku Moja na nyinginezo nyingi.
Katika filamu hizo msanii huyo ameonesha kama anakipaji na anataka kuifisha tasnia hiyo kimataifa.
Akiongea na mwandishi wetu msanii huyo mpole na asiye na majivuno alisema " Kaka nawashukuru Watanzania kwa kunipokea kwa kweli kazi za mikono yangu zinapendwa sana ambapo hadi sasa watanzania wamenielewa nini ninachotaka kuwafanyia au kuifanyia nchi hii kimataifa hivyo waniunge mkono tu, lakini pia kwa sasa tayari nimepata mtu wa kunisimamia ambae ni mdau Livingstone Mkoi ambapo hadi sasa tayari ameanza kuniwekea mikakati ya kuwa Afande Machemba mwingine" Alisema
Afande Machemba akiwa kwenye moja ya sinema zake
Afande Machemba akiwa kwenye majukumu yake kikazi
Na Mwandishi Wetu
Matumaini ya watanzania yaliyokuwa yamepotea baada ya msanii aliyekuwa na uchungu na Tanzania pamoja na Tasinia ya Filamu marehemu Steven Kanumba kuondoka Dunia, hatimae sasa yameanza kurejea baada ya msanii Kinda mwenye kipaji cha ajabu kwenye kuigiza Joseph Machemba maarufa kwa jina la "Afande Machemba" kuonesha anaweza
Msanii huyo mwenyeji wa Kanda ya Ziwa akitoka Mkoa wa Shinyanga kwa sasa ndiye amekuwa habari ya mjini kwenye tasnia ya filamu baada ya kuonesha uwezo wa kipekee kwenye moja ya filamu zake alizoshirikishwa ambapo zote zipo mtaani kwa sasa.
Filamu alizoonekana Afande Machemba ni pamoja na, Karoge Tena, Night Dress, Akiri Nyingi, Siku Moja na nyinginezo nyingi.
Katika filamu hizo msanii huyo ameonesha kama anakipaji na anataka kuifisha tasnia hiyo kimataifa.
Akiongea na mwandishi wetu msanii huyo mpole na asiye na majivuno alisema " Kaka nawashukuru Watanzania kwa kunipokea kwa kweli kazi za mikono yangu zinapendwa sana ambapo hadi sasa watanzania wamenielewa nini ninachotaka kuwafanyia au kuifanyia nchi hii kimataifa hivyo waniunge mkono tu, lakini pia kwa sasa tayari nimepata mtu wa kunisimamia ambae ni mdau Livingstone Mkoi ambapo hadi sasa tayari ameanza kuniwekea mikakati ya kuwa Afande Machemba mwingine" Alisema
HALI YA MSANII MANAIKI SANGA KIMAISHA INASIKITISHA, SASA ANAPAKIA MATOFARI JAPO APATE HELA YA KULA, MASKANIBONGOTZ LAMNASA LIVE..!
| Msanii wa Filamu na magizo Manaiki Sanga akipatakia matofari huko Wazo kwa ajiri ya kujipatia ridhiki, ambapo imedaiwa kufuria kwa msanii huyo kumetokana na kuwapanga mademu kama ndoo bombani. |
![]() |
| Kajala Masanja ametajwa kwenye kashfa ya kufilisika msanii Manaiki Sanga, huku watu wengi wakisema Kajala anatakiwa kutomtupa Manaiki kwa vile aliwahi kumsaidia vitu vingi kwenye sanaa. |
Wednesday, January 20, 2016
USHIRIKINA: MWANAMKE AKUTWA KWENYE PAA LA JENGO LA WIZARA TA FEDHA AKIWA MAZINGIRA YA KUTATANISHA, WAFANYAKAZI WAGOMA KUINGIA NDANI KWA HOFU YA KULOGWA, PICHA HIZI HAPA...!
Manamke ambaye
jina lake halikupatikana mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya
Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.
Mwanamke huyo
akizungumza na watu waliokusanyika lakini alikuwa hasikiki vizuri maneno
aliyokua akiongea kutokana na wananchi waliokusanyika kumuuliza maswali
mengi kwa wakati mmoja.
Polisi akiwa
pembeni ya uzio wa majengo ya wizara ya fedha na mipango mara baada ya
mwanamke huyo kuwa juu ya paa la nyumba hizo. Baada ya muda wafanyakazi
wa wizara hiyo walimwekea ngazi na kumshusha ili kumhoji zaidi nini
kimemfanya apande juu ya paa la majengo hayo.
Subscribe to:
Posts (Atom)

























