TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, July 11, 2014

SIKU 100 ZA MAAJABU YA 93.7 E-FM RADIO, YAFANYA MAPINDUZI YA KIHISTORIA JIJINI DAR WATU ZAIDI LAKI 5 WANAISIKILIZA KWA SIKU MOJA..!

Ilikuwa tarehe 2 mwezi wa Nne 2014 Jiji la lilipigwa butwaa kufuatia ghafla kusikika kwa radio mpya ambayo ilianza kutambulisha frekwensi zake ambazo ni 93.7 bila kujulikana jina la radio yenyewe.
Tangu radio hiyo iwe hewani hadi leo hii imefanikiwa kuliteka Bongo Dar es Salaam kwani zaidi ya mashabiki wapatao 200,000 wanaisikikiza kwa siku moja.

Thursday, July 10, 2014

HABARI NJEMA KWA WASIKILIZAJI WA 93.7 E-FM ANGALIA HAPA UPATE MAELEKEZO MUHIMU..!


MGANGA WA MASTA NCHINI AWEKA WAZI MITI SHAMBA YAKE ANAYOITUMIA KUWATAJIRISHA WATU, MADOKTA WA KICHINA WATUA NCHINI KUZIFANYIA UCHUNGUZI DAWA ZAKE..!


Hii ni moja za dawa za miti shamba nazotumia Dk Kamdege kuwasafishia watu na kuondoa nuksi zote



Mzee wa Kichina ambae alifunga safari toka nchini kwao hadi Tanzania kwa ajili ya kuchungua miti shamba kwa Dokta Kamdege.

Familia hii toka nchini China wakiwa kwenye viunga vya kibanda cha Dokta Kamdege wakiangalia mitishamba ambayo inatafutwa sana nchini kwao.


 Dk Kamdege akiwa tunguri zake zilizojaa mitishamba 

Mganga wa mastaa nchini Dokta Kamdege ameweka wazi miti shamba anayoitumia kuwasaidia wananchi wenye shinda na kusema tiba zake sio uchawi ni miti shamba tu ndiyo inayofanyakazi.
Akiongea na mwandishi wetu kwa njia ya simu namba 
0788-844490 mganga huyo alisema" Unajua watu wengi wakiona tungur basi wanajua ni uchawi kumbe sio kweli hizi ni miti shamba kama hizo zinazoonekana hapo juu ambazo kazi yake ni kuwaagua watu wenye shida na kuwasaidia kuwa na mafanikio" Alisema 
Aidha Mganga huyo aliongeza kusema katika miti shamba hiyo ipo inayotumika kuwaondolea watu nuksi na kuwafanyakuwa na mafanikio na zipo zinazosaidia kukuza biashara ya mtu haraka na kuzikinga, zipo zenye kutibu magonjwa mbalimbali na za kung'alisha nyota yako na kuwa ya kipekee duniania.
Hata hivyo mganga huyo ameendelea kutoa uwito kwa watanzania hasa wakazi wa Jiji la Dar kuwa wachangamkie uwepo wake ili kutatua matatizo yao na amefikia Kiwalani.

INASIKITISHA SANA HIVI NDIVYO MABASI YA MH SHABABY YANAVYOZUSHA BALAA NCHINI TANZANIA, WADAI DODOMA WATOA MAONI YAO, ANGALIA TAARIFA HII HAPA..!

Mabasi mapya ya mwendo kasi ya yaliyoshushwa na kampuni ya Shabiby na yamekuwa kivutia kikubwa kwa wasafari wa mikoa ya Kanda ya Kati na kusababisha kuyagombania kila siku
Na Livingstone Mkoi
Mabasi mapya ya mwendo kasi ya Mh Shabiby yameendelea kuzusha balaa nchini Tanzania baada ya kampuni hiyo kutangaza kuwa inashusha mzigo mwingine mpya wa mabasi ambayo yataanzisha safari karibu mikoa yote Tanzania.
Akiongea na Xdeejayz Tanzania meneja wa kampuni hiyo Saidi Shabiby alisema" Unajua tunafanya hivi kulingana na matakwa ya wananchi hivyo kampuni imeagiza mzigo mwingine wa mabasi ambao tutaanzisha safari mpya kwenye mikoa zaidi ya sita ukiacha safari mpya ya Dar Singida tuliyoianzisha hivi karibuni" Alisema Saidi

Tuesday, July 8, 2014

SIKU CHACHE BAADA YA KUJITANGAZA KAMA NI BIKRA DIANA KIMARIO AUMBUKA VIBAYA, MANAIKI SANGA ATAJA HADI ALAMA ZILIZOPO SEHEMU ZAKE ZA SIRI, MANAIKI AMWAMBIA AWAOMBE RADHI WATANZANIA KWA KUONGEA UONGO XDEEJAYZ LIVE..!




Na Sakina Sahabani wa Xdeejayz Tanzania
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua Msanii Manaiki Sanga a.k.a The Don ameibuka na kumuumbua vibaya msanii mwenzake Diana Kimario ambae siku za hivi karibuni amekuwa akijitangaza kama yeye ni bkra yani hajawahi kuguswa na mwanaume kwa kushiriki tendo la ndoa.
Jambo hilo limepingwa vikali na Manaiki ambae anadai ameishi na Diana kama mkewe zaidi ya mwaka na nusu huku Mamaake Diana anaeishi Manzese akiwa shahidi namba mjoa.

 Diana mara kadhaa amekuwa akijitangaza kama yeye hajawahi kuguswa na mwanaume na wala hajui chochote kinachoitwa ngono kwani tangu azaliwe hajawahi kushiriki tendo hilo la kikubwa.


Aidha mtandao huu ulimtafuta Diana ili kujibu hoja ya Manaiki Sanga lakini kwa bahati mbaya hakuweza kupatikana hadi habari hii inaruka hewani na kuwafikia wasomaji wetu makini.

SOURCE: XDEEJAYZ TANZANIA

MMH KWELI MUNGU MKUBWA, MISS UTALL ALIYEPIGA PICHA ZA UCHI AKIFANYAMAPENZI NA MAIKI SANGA AOLEWA, LAKINI MWANAUME HAJUI TUKIO LA PICHA ZA UTUPU ANGALIA HAPA. XDEEJAYZ INAKUPA A-Z..!

 Fthiya ambae anajulikana kama Mrembo wa Facebook akiwa kwenye picha ya udhalilishaji
  Fthiya na Manaiki wakiwa uchi wa mnyama kitandani wakifanya ufuska bila aibu
  Manaiki akizichungulia nyeti za Fathiya kabla ya kuvua nguo na kufanya ngono nzembe

  Fthiya na Manaiki wakifanya riheso muda mfupi kabla ya kuanza kufanya ngono live huku wakijirekodi kutumia Laptop

  Fthiya akiwa stejini siku alipopanda stejini kugombea taji la Miss Utalii Tanzania 

  Fathiya ambae amepinda na hana aibu hasa mzuka wa mapenzi ukipanda


  Mme aliyedaiwa kumuoa Fathiya ambae ni mwenyeji wa Mkoa wa Morogoro akiwa kwenye pozi ambapo Xdeejayz imenasa picha hii toka kwenye mtandao wa facebook wa Fathiya

 Manaiki Sanga maarufu kama Baridabaridani au The Don
Na Sakina Sahabani
Hakika Mungu hamtupi mja wake na hata kama ukiwa na dhambi nyeusi kama mkaa lakini ujapotubu zitakuwa nyeupe kama tharuji hivi ndivyo tunavyoweza kusema  kwa mrembo Fathiya ambae licha ya skendo yake kutikisa nchi ya picha za uchi lakini hatimae amemuomba Mungu msamaha na sasa ni mke wa mtu.
Habari za uhakika zilizonaswa na Xdeejayz Tanzania zinasema kuwa Fathiya ameolewa hivi karibuni siku chache kabla ya mfungo wa Ramadhani na mwanaume ambae hakufahamika jina lake.
Xdeejayz ilifanyajitahada za kumtafuta Fathiya ili kuzungumza lakini kwa bahati mbaya lakini hata hivyo habari zaidi zilisema kuwa mmewe huyo hajui chochote kuhusu mkewe huyo na hajui kama aliwahi kurekopdi DVD ya kusagana na Suzy Magoti na kupiga picha akichezewa nyeti na Manaiki Sanga usiku kucha na kuna shaka kama mwanaume huyo ataona picha za mkewe huyo huenda akajikuta anatoa karata 3 fasta.
SOURCE XDEEJAYZ TANZANIA


Saturday, July 5, 2014

SABABU ZA DIAMOND KUKOSA TUZO ZAWEKWA HADHARANI NA MGANGA WAKE, MKONO WA DVJ PENNY PIA UPO ANGALIA HAP..!

 Dvj Penny akiwa kwenye hisia kali za busu mwanana la Diamond
  Dokta Kamdege akiwa kazini na vifaa vyake vilivyojaa miti shamba tayari kuwasaidia wananchi wenye shida ya mafanikio pamoja na matatizo mengine.




 Na Sakina Shabani
Mganga maarufu aliyejichukulia sifa kibao nchini na nje ya nchi Dokta Kamdege ameibuka na kutaja sababu kadhaa za mwanamuziki Diamond aliyekuwa akiiwakilisha inchi kwenye tuzo za kimataifa za MTV na kuambulia patupu.
Akiongea na gazeti hli juzi mganga huyo ambae kwa sasa anatikisa jiji la Dar kwa kujaza watu mbalimbali wenye shida mganga huyo alisema" Unajuwa kukosa tuzo kwa Diamond kuna mazingira mengi sana ambayo yako chini ya pazia na si vyema kuyaweka wazi yote ila tu mtu mwingine aliyefanikisha Diamond kukosa tuzo ni Dvj Penny ambae kipindi kirefu amekuwa katika majonzi akifanya dua maalum ili Diamond akwame mambo yake" Alisema Mganga huyo
Mganga huyo anaepatikana kwa simu namba 0763-146231 aliongeza kusema kuwa Penny hadi leo hayuko sawa kutokana na Wema kumpora bwanaake huyo lakini ili kupoza machungu inabidi nae amlilie muumba wake ili atoe majibu.
Dokta kamdege amekuwa akiwasaidia watu wengi kwa kuwasaidia kibiashara na kuwa na mafanikio huku akitumia dawa za miti shamba si vinginevyo kama wafanyavyo waganga wengine kwa sasa yupo Jijini Dar kwa kazi hiyo ya kuwasaidia watu na amefikia Kiwalani Jijini Dar.