TANGAZO MAALUM
.
TANGAZA NA SISI
Sunday, June 24, 2012
DYNAMIC MINDS & DMK GLOBAL PROMOTIONS PRESENTS LINAH @ MAISHA CLUB
Yeeeaaahhhhh!!!
Linah all the way Back from USA will be performing Live with THT Band, will play Live @ New Maisha Club Dar.... ToNiTe... Gate Open From 2130 hrs.. Dont Miss this Show for 7000/=,
Artist Packeg: Mwana Falsafa (FA)
Ditto
Amini
Country Boy
Saturday, June 23, 2012
X-DEEJAYZ CORNER @MWENGE,LAST NIGHT
Ajali hii ilitokea maeneo ya mwenge baada ya driver kupoteza mueleke na kupanda msingi badae ndio hivyo kama unavyoona, HAKUNA MAJERUI WALA MAITI
Friday, June 22, 2012
XTREME DEEJAYZ INAKULETEA TRIPLE BASH,DODOMA DAR,MTWARA KAENI TAYARI
Bash ya kwanza inatarajiwa kutua dodoma mwezi huu wa sita, wakali kutoka xtreme deejayz wamesema wapo tayari kabisa wanangoja tarehe tu watue dodoma kwa mashambulizi pamoja na ma dj wa club maisha dodoma
dj park from X-jeedayz kwenye pozi
DVJ MAJEY from X-DEEJAYZ
DJ Spar from X-DEEJAYZ
DODOMA GET READY MAMBO YANATUA HAPO SOON
CLUB MAISHA DODOMA INAOMBA RADHI MASHABIKI WOTE KWAUSUMBUFU UTAKAO JITOKEZA KWA KIPINDI HIKI KIFUPI CHA MATENDENGENEZO,MAMBO MAZURI YANAKUJA
Mkali Dj Abou mkali wa club maisha dodoma,anawaomba washabiki wote kueni wavumilie kidogo kwa kipindi hiki kifupi cha maboresho ya mjengo wetu. tunatarajia kurudi mjengoni soon
DJ Dizo akiwa na washikadau wa club maisha dodoma, anawaomba wanadodoma utulivu kwakipindi hiki cha maboresho ya mjengo, Tunawaomba radhi kwausumbufu wote
Subscribe to:
Posts (Atom)





















