TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, June 24, 2012

LINAH ON REHERSAL @ NEW MAISHA CLUB






DYNAMIC MINDS & DMK GLOBAL PROMOTIONS PRESENTS LINAH @ MAISHA CLUB


Yeeeaaahhhhh!!!
 Linah all the way Back from USA will be performing Live with THT Band, will play Live @ New Maisha Club Dar.... ToNiTe... Gate Open From 2130 hrs.. Dont Miss this Show for 7000/=,
           Artist Packeg: Mwana Falsafa (FA)
                                   Ditto
                                   Amini
                                   Country Boy


Friday, June 22, 2012

XTREME DEEJAYZ INAKULETEA TRIPLE BASH,DODOMA DAR,MTWARA KAENI TAYARI


Bash ya kwanza inatarajiwa kutua dodoma mwezi huu wa sita, wakali kutoka xtreme deejayz wamesema wapo tayari kabisa wanangoja tarehe tu watue dodoma kwa mashambulizi pamoja na ma dj wa club maisha dodoma



dj park from X-jeedayz kwenye pozi




DVJ MAJEY from X-DEEJAYZ 


DJ Spar from X-DEEJAYZ

DODOMA GET READY MAMBO YANATUA HAPO SOON


CLUB MAISHA DODOMA INAOMBA RADHI MASHABIKI WOTE KWAUSUMBUFU UTAKAO JITOKEZA KWA KIPINDI HIKI KIFUPI CHA MATENDENGENEZO,MAMBO MAZURI YANAKUJA


Mkali Dj Abou mkali wa club maisha dodoma,anawaomba washabiki wote kueni wavumilie kidogo kwa kipindi hiki kifupi cha maboresho ya mjengo wetu. tunatarajia kurudi mjengoni soon



DJ Dizo akiwa na washikadau wa club maisha dodoma, anawaomba wanadodoma utulivu kwakipindi hiki cha maboresho ya mjengo, Tunawaomba radhi kwausumbufu wote