TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, August 28, 2015

WEMA SEPETU NA JB WAFANYIWA UMAFIA WA KUTISHA , MILIONI 52 ZATUMILA KUMALIZA KABISA, MZEE CHINO NA MZEE MAGALI WATO KAURI YA KUSIKITISHA SOMA HAPA KILICHOTOKE..!

Wasanii wa kundi la Bongo Movie wakiongozwa na Maadam Wema Sepetu ambapo wasanii hao wamefanyiwa umafia wa kutisha kiasi huku tsh milioni 52 zikitumika kuwaangamiza kabisa.
 

 Wasanii Jack Wolper na Jb wakipeana mkono muda mfupi baada ya kumalizkia kuingia Demo ya Filamu ya Wake huku Jb akimpongeza msanii huyo kwa kazi nzuri aliyoifanya ndani ya Wake Up ya msanii Manaiki Sanga ambapo filamu hiyo hadi sasa imevunja rekodi ya Afrika  Mashariki na Kati kwa kupata oda zaidi ya milioni 30. Kampuni ya Stesp imekili kuwa kwa kiasi hicho ni kingi ambacho hakija wahi kufikiwa na msanii yeyote tangu histori ya filamu kuanza.


 Msanii Manaiki Sanga The Don akiwa na aliyekuwa baunsa wa Diamond Mwarabu ambae kwa sasa amemuhodhi kwa ajiri ya kumlinda yeye.

Na Dorcus  Shabani
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushta msanii Manaiki Sanga amewafanyia umafia wa kutisha wasanii Wema Sepetu na Jb kwa kuwashusha kiwanga kwenye mauzo ya filamu za kitanzania kufuatia filamu yake ya Wake Up hadi sasa kupata oda zaidi ya milini 30 nchi nzima huku bado nchi za kenya na uganda zikiwa bado hawajapelekewa.
Habari za uhakika toka kampuni ya Steps toka kwa mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo alisema" Mimi hapana taja jina langu kwani sio msemaji bwana lakini ukweli kwamba filamu ya Wake Up imevunja rekodi ya filamu zote zilizowahi kusambazwa na kampuni yetu kwa kuuzwa nakala nyingi zaidi ambapo hadi sasa tayari tumepokea oda ya zaidi ya nakala milioni 30 nchi nzima" Alisema Muhindi huyo ambae ilidiwa ni mdogo wake na bosi kubwa kubwa wa kampuni hiyo.
Hata hivyo muhidni huyo anasema kuwa Jumatatu ya tarehe 31. 08. 2015 ndiyo itakuwa mtaani lakini tayari watu toka Mikoani maajenti wapo Dar tayari kuchukua kopi zao huku nchi za kenya uganga, Kongo na Burundi zikipelekewa kopi zaidi ya laki nane.

Aidha filamu hiyo ambayo kesho Jumamosi wiki hii itaoneshwa live pale Jangwani kwenye screen kubwa zitakazokuwepo pembezoni mwa uwanja huo kwa lengo la maelfu ya watanzania kuona kabla ya Jumatatu kupata kopi halisi ya filamu iliyogharimu zaidi ya tsh milioni 52 huku ikiwashirikisha zaidi ya wasanii 30 mastaa wa bongo movie.
 Aidha staa wa filamu hiyo Manaiki Sanga ameuambia mtandao huu wa maskanibongotz kuwa kuna zawadi ya tisheti zenye picha za filamu hiyo ya Wake Up na zitagawiwa bure pale Jangwani kesho lakini kama mtu anahitaji na angependa kupelekewa mahara alipo basi apige simu 0652-446446 hii na tisheti ni bureee kabisa 

 T shirt za bure piga simu hiyo juu kuipata hata kama mko familia wewe sema tu zitakuja hata hamsani
 

Wednesday, August 26, 2015

UKAWA TISHIO: SIRI YA FILAMU YA WAKE UP NA LOWASA ZAJULIKANA , WATU ZAIDI YA MILIONI 6 WAMSUBIRI JANGWANI JUMAMOSI WIKI HII..!

Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar wakiwa na taharuki kubwa kwa kumona mgombea Urais kupitia Ukawa Mh Lowasa hivi karibuni wakati anakwenda kurudisha fomu ya Urais
Staa wa filamu ya Wake Up Manaiki Sanga akiwa na bodigadi wake hivi karibuni Jijini Arusha wakati akizungumza na wadau na wasambazaji wa filamu Mkoani humo kwa ajiri ya kujadilina namna watakavyoweza kupata nakala za kopi ya filamu hiyo inayotarajia kutoka tarehe 31. 08. 2015
                               
 Huu ndiyo muonekano wa Posta ya filamu ya Wake Up inayotajia kutoka wiki ihayo tarehe 31. 08. 2015



Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua habari zilizovuja kisha kunaswa na mtandao huu zinasema kuwa msanii pekee wa filamu Tanzania Manaiki Sanga "The Don" amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii watakaokuwepo kwenye mkutano wa kwanza wa ufunguzi wa kampeni za UKAWA Jumamosi hii yata tahe 29 pale Jangwani huku filamu yake ya Wake Up itaoneshwa demo yake kwa maelfu watakaohudhuria mkutano huo.
Habari za uhakika toka kwa chanzo chetu cha habari zilisema kuwa filamu ya Wake Up ambayo wiki ijayo tarehe 31 itakuwa mtaani lakini pia siku hiyo itaoneshwa  vipande vipande ili watanzania pia waione live kabla ya tarehe 31. 08. 2015 kuwa mtaani.
Hata hivyo Manaiki alipotaufutwa ili kuthibitisha taarifa hizo alipatikana na kusema ' Kaka mimi ni mdau na kada wa Chadema na ni lazima niwepo pale kwa ajiri ya kuweka mambo sawa na huwei kuzuia mafuliko kwa mikono" Alisema Manaiki

KIMENUKA: UKAWA, FILAMU YA "WAKE UP" KUTISA JANGWANI JUMAMOSI HII KWENYE MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI, MAELFU YA WATU KUISHUHUDIA LIVE..!

 Staa wa filamu ya Wake Up Manaiki Sanga akiwa na wasanii wenzake kwenye mkutano na waandishi wa Habari kuhusu taarifa sahihi ya  siku ya kutoka filamu hiyo ambayo ni Jumatato tarehe 31. itakuwa mtaani lakini hata hivyo filamu hiyo itavunja rekodi wiki hii kwa kuibukia mkutano wa Chadema kwa ajiri ya maelfu ya watu kuiona Demo yake kabla ya Jumatatu kuipata kamili.

Wasanii Manaiki Sanga na Prince Kass "Muhindi wa Masogange" wakiwa kwenye kituo cha TBC1 kufanya mahojioni na kipindi cha Ulimwengu wa Filamu jana pia kuelezea namna Filamu hiyo itakavyopamba ufunguzi wa kampeni za UKAWA Jangwani huku Televisheni hiyo ya Taifa ikitarajia kurusha live matangazo ya Mgombea wa Ukawa moja kwa moja kama vituo vingine vitakavyofanya.


 

Sunday, August 23, 2015

KIPA WA AZAM FC ALIVYOWAPA IBINGWA TIMU YA YANGA, SIFA ZA KIJINGA ZILIMPONZA KWA KUPOTZA MUDA MAKUSUDI KWA KUTEGEMEA PENAITI..!

BOFYA HAPA KUONA FILAMU MSANII MANAIKI SANGA AMBAYO TAREHE 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI PATA KOPI YAKO..!


2X6A1973 - Copy
Wachezaji wa Yanga wakiwa na Ngao ya Hisani walioitwaa mbele ya Azam FC
2X6A1879
2X6A1880
2X6A1884
2X6A1887

Mtu wangu wa nguvu nimekusogezea picha za matukio mbalimbali yaliotokea ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja wakati mabingwa wapya wa ngao ya hisani Yanga wakishangilia ushindi walioupata dhidi ya Azam FC, timu ambayo ilikuwa ina miliki ngao hiyo.
2X6A1919
2X6A1923
2X6A1927
2X6A1528
2X6A1743
2X6A1744

2X6A1794
2X6A1765
2X6A1789
2X6A1779
2X6A1744
2X6A1746
2X6A1833
2X6A1775

SIKU 8 ZA MAAJABU YA FILAMU YA "WAKE UP". SOKONI,YASUBIRIWA NCHINI UINGEREZA KWA AJIRI YA UZINDUZI..!

 STAA WA FILAMU YA WAKE MANAIKI SANGA AKIZUNGUMZA NA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI KUELEZEA UINGIANI SOKONI WA FILAMU HII YA KWANZA TANZANIA KWA KUCHEZWA NA MASTAA ZAIDI YA 30 HUKU IKITUMIA GHARAMA ZAIDI YA MILIONI 50 HADI KUKAMILIKA.
BOFYA HAPA KUONA FILAMU YA WAKE YA MSANII MANAIKI SANGA
 ERNEST NAPOLEON AMBAE KWA SASA AMEUNGANA NA MSANII MANAIKI SANGA KWA AJIRI YA KUIPELEKA SANAA YA TANZANIA HUKO DUNIANI ILI KUITANGAZA NCHI.

SIKU 8 ZA FILAMU YA MSANII MANAIKI SANGA KUFANYA MAAJABU SOKONI KWA KUVUNJA REKODI YA FILAMU ZOTE ZILIZOTANGULIA KUTOKANA NA UBORA WA FILAMU HIYO NA JINSI MAMILIONI YA WATU WANAVYOISUBIRI MTAANI NA WIKI IJAYO TAREHE 31 KWA MARA YA KWANZA ITAINGIA MTAANI
HATA HIVYO IMEELEZWA KUWA FILAMU HIYO TAYARI IMETUA NCHINI UINGEREZA KWA AJIRI YA UZINDUZI KWENYE UKUMBI AMBAO HADI SASA HAUJAFAHAMIKA.

Friday, August 21, 2015

NYETI ZA MSANII MANAIKI SANGA ZATIKISA UJIO WA FILAMU YA WAKE UP TAREHE 31.08, 2015, YAVUNJA REKODI YA ODA AFRIKA MASHARIKI NA KATI..!



 Hii ndiyo Demo ya WAKE UP ambayo filamu yake halisi inatoka wiki ijayo ikiwa imesheni full mastaa na itasambazwa na kampuni ya Steps ni filamu ya pili ya msanii Manaiki Sanga baada ya kwanza kuitwa NGEMA ambayo ilivunja rekodi ya mauzo kutokana na wale wanawake zake  700 aliokuwa amepiga nao picha za aibu wakiwem Irine Uwoya, Wema Sepetu kushiriki ndani yake, Hata hivyo na filamu hii pia wanawake wote akiwemo dada huyu kwenye picha chini amecheza filamu hii ya Wake Up na kuoneshana uwezo mkubwa na mastaa wa kike akina Uwoya na Jackline Wolper nk.
 Msanii Manaiki Sanga ambae hizi picha zake binafsi zilizovuja kwa wananchi baada ya Laptop yake kupotea na picha hizi, hata hivyo haya ni moja ya mambo yatakayopatikana kwenye filamu hii ya Wake Up ambayo tarahe 31 mwezi huu itakuwa mtaani.
  WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS
 WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS
 WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS
 WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS
  WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS
  WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS

  WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS
 Hapa Manaiki Sanga akiingia chuvini kwa dada huyu ambae ni raia wa Uganda ambae ndani ya filamu hii ya Wake ametishia nyau mastaa
 WAKE UP FILAMU 31.08. 2015 ITAKUWA MTAANI IKISAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS