TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, July 31, 2015

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA AFANYA MAMBO YA KUSHANGAZA HADI WANANCHI WAPIGWA BUTWAA. MASKANIBONGOTZ..!




 HAPA MKUU WA WILAYA AYA KINONDONI AKIWA AMEKAA CHINI KWENYE MCHANGA.
Credit; Maskanibongotz
Na Livingstone Mkoi
 Katika hali ya kushtua na kushangaza mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mheshimiwa Paul Makonda leo Ijumaa amewashangaza mamia ya wakazi wa kijiji cha Nakasangwe huko Tegeta Jijini Dar baada ya kuacha kukalia kiti badala yake ameenda kukaa chini kwenye vumbi pamoja na wakina mama waliokuwa wamekuja kumsikiliza wakati alipokuja kusikiliza mgogoro wa ardhi katika eneo hilo. Mtandao wa Maskanibongotz ambao ulikuwa kijijini huko kushuhudia kikao hicho kilichokuwa baabu kubwa kutokana na wanancha wa eneo hilo kuwashutumu maofisa ardhi kudaiwa kutumiwa na watu wenye pesa ili kuwakandamiza. Hata hivyo katika kikao hicho Mh Makonda amesema atapigana kufa kupona ili wananchi hao wapimiwe ardhi yao ili waishi kwa amani.
Credit; Maskanibongotz

WACHAWI WATISHIA MAISHA YA WAKAZI WA TABATA LIWITI, POLISI WAMUOKOA BIBI KINGUNGE WA USHIRIKINA., DOKTA KAMDEGE AOMBWA KUTUA ENEO HILO..!

 MTOTO ANAEDAIWA ALIKUWA AMECHUKULIWA MSUKULE AKIOKOLEWA NA POLISI TOKA NYUMBANI KWA BIBI HUYO...!





WAKAZI WA KITONGOJI CHA TABATA KATIKA MTO MSIMBAZI NA VITONGOJI VYAKE WAMEKOSA AMANI KUTOKANA WATU WANAODHAIWA KUWA WACHAWI KUCHARUKA NA KUWAFANYISHA KAZI USIKU PAMOJA NA KUWACHARAZA BAKORA HASA VIJANA. TUKIO LA JUZI AMBALO JANA LIMERUSHWA NA KITUO CHA E-FM RADIO KUPITIA RIPOTI YA LEO ILISEMA KUNA MTOTO AMBAE ANADAIWA ALIKUWA AMEWEKWA MSUKULE NA BIBI MMOJA MKAZI WA TABATA LIWITI, HALI ILIYOWAFANYA WANANCHI KUWA NA JAZBA KIASI CHA KUTARISHA AMANI HALI ILIYOWAFANYA POLISI KUWA KUFIKA NA MABOMU YA MACHOZI. HATA HIVYO WAKAZI HAO WAMEMUOMBA MGANGA KIBOKO YA WACHAWI NA MTAALAMU WA MITI SHAMBA DOKTA KAMDEGE TOKA MKOANI TABORA AENDE KATIKA ENEO HILO ILI AWAUMBUE. AIDHA MAGANGA HUYO AKIONGEA KWA NJIA YA SIMU 0763-146231 TOKA MKOANI TABORA ALISEMA KUWA ANAWEZA KUFIKA KATIKA ENEO HILO NA KUSAFISHA KABISA WACHAWI HAO PAMOJA KUWEKA DAWA MAALUM YA KUWANASA WACHAWI WOTE.
WAKAZI WA KITONGOJI CHA TABATA KATIKA MTO MSIMBAZI NA VITONGOJI VYAKE WAMEKOSA AMANI KUTOKANA WATU WANAODHAIWA KUWA WACHAWI KUCHARUKA NA KUWAFANYISHA KAZI USIKU PAMOJA NA KUWACHARAZA BAKORA HASA VIJANA. TUKIO LA JUZI AMBALO JANA LIMERUSHWA NA KITUO CHA E-FM RADIO KUPITIA RIPOTI YA LEO ILISEMA KUNA MTOTO AMBAE ANADAIWA ALIKUWA AMEWEKWA MSUKULE NA BIBI MMOJA MKAZI WA TABATA LIWITI, HALI ILIYOWAFANYA WANANCHI KUWA NA JAZBA KIASI CHA KUTARISHA AMANI HALI ILIYOWAFANYA POLISI KUWA KUFIKA NA MABOMU YA MACHOZI. HATA HIVYO WAKAZI HAO WAMEMUOMBA MGANGA KIBOKO YA WACHAWI NA MTAALAMU WA MITI SHAMBA DOKTA KAMDEGE TOKA MKOANI TABORA AENDE KATIKA ENEO HILO ILI AWAUMBUE. AIDHA MAGANGA HUYO AKIONGEA KWA NJIA YA SIMU 0763-146231 TOKA MKOANI TABORA ALISEMA KUWA ANAWEZA KUFIKA KATIKA ENEO HILO NA KUSAFISHA KABISA WACHAWI HAO PAMOJA KUWEKA DAWA MAALUM YA KUWANASA WACHAWI WOTE. Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Thursday, July 30, 2015

KIMENUKA MJINI: MASUPA STAA WA KIKE BONGO WAPIGANA VIKUMBO KWA STAA WA FILAMU YA GOING BONGO YA MAREKANI AMBAE YUPO NCHINI TANZANIA WAMSAKA KILA KONA YA MJI AKIMBILIA ZANZIBAR..!

 

HII NDIYO FILAMU YA GOING BONGO YA MTANZANIA ANAEISHI NCHINI MAREKANI AMBAYO KWA SASA HIVI IMEKUWA GUMNZO KUTOKANA  MSANII HUYO KUONESHA KIPAJI CHA HALI YA JUU KIMATAIFA
 
 Msanii Ernest Napoleon staa wa filamu ya Going Bongo ambae amechafua hali ya hewa hapa mjini kutokana na mastaa wengi wa kike kumuwinda usiku na mchana wakihitaji penzi lake kwa udi na uvumba.



 Msanii Ernest Napoleon akipokea tuzo mara baada ya filamu yake kushinda na kuwa filamu bora Afrika Mashariki na Kati.
 Msanii Ernest Napoleon staa wa filamu ya Going Bongo akiwa ndani ya filamu hiyo iliyooneshwa zaidi ya nchi 7 Duniani.
 Msanii Ernest Napoleon akiwa mzigoni 

















Na Mwandishi Wetu

Filamu ya kimataifa  ya Going Bongo iliyoandaliwa kwenye nchi za Marekani na Tanzani huku msanii toka Tanzania Ernest Napoleon akionesha kipaji cha hali ya juu kiasi cha kuwachanganya mashabiki waliofurika kwenye tamasha la ZIFF kushuhudia kuiona filamu hiyo kwa mara ya kwanza.
Filamu hiyo ambayo siku ya Ijumaa wiki iliyopita ilioneshwa kwa mashabiki zaidi ya elfu mbili waliokuwepo kwenye utoaji tuzo kwa Filamu mbalimbali, lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida mashabiki wengi walionekana kukunwa na msanii Ernest Napoleon ambae ana kipaji cha hali ya juu kiasi cha kuwafanya watazamaji kushindwa kuamini alichokuwa anakifanya msanii huyo.
Katika maonesho hayo filamu hiyo ilifanikiwa kuchukua tuzo ya filamu bora Afrika Mashariki na Kati huku mashabiki wengi wakitamani kupata nakala ya filamu hiyo ya kimataifa, aidha muandaaji  wa filamu hiyo ambae ni Ernest Napoleon alisema kuwa filamu hiyo kwa sasa imeshaoneshwa kwenye nchi nyingi za kimataifa kama vile Uingereza, Italia, Marekani, Ujerumani, Nigeria na nchi Afrika Kusini itafatia hivi karibuni.
Filamu hivyo kwa nchi ya Marekani sehemu kuwa imeigiziwa kwenye Hospitali ya 'Beverly hills medical center' iliyopo mjini Los Angeles huku kampuni za  Busy bee production na Ronald brothers production zikisimamia  uchukuaji video, huku  waigizaji waliotoana jasho ni ; Ernest Napoleon,Emanuel Galliusi,Ashely Olds,Nyokabi Gethaiga huku ikiongozwa na  Leslie Bumgarner, Dean Ronald's, na imendaliwa na Ernest Napoleon,Nick Marwa na Dean Reynolds.

Hata hivyo uchunguzi uliofanywa na mtandao huu umegundua kuwa staa huyo amekuwa dili kwa watoto wazuri wa kike Jijini Dar wakiwemo mastaa wa kike ambapo amekuwa wanted kila kona hali iliyomfanya staa huyo mnyamwezi kukimbilia Zanzibar kujificha.



Wednesday, July 29, 2015

KUCHUKUA TUZO FILAMU YA GOING BONGO YAMTIA "UCHIZI" MSANII VICENT KIGOSI RAY AISHINDWA KUMPA MKONO STAA WA FILAMU HIYO ERNEST NAPOLEON, MASHABIKI WAMSHUSHA NA KUMWAMBIA BORA AACHANE NA SANAA KWA VILE IMEMSHINDA...!

 Staa wa filamu ya  Going Bongo Ernest wa pili kutoka kushoto ambae ni mstaa wa kimataifa na Mtanzania wa kwanza kuitangaza Tanzania hii Kimataifa  kupita sanaa akiwa kwenye mahojianoa waandishi mbalimbali wa Televisheni
BOFYA HAPA KUONA FILAMU YA WAKE YA MSANII MANAIKI SANGA JUU NA CHINI NI DEMO YA FILAMU YA GOING BONGO EBU CHEKI UHONDO HUU

Ernest Napoleon Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Ernest Napoleon Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Ernest Napoleon Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Msanii Ray ambae hivi karibuni alifanya kituko cha aina yake kwa kushindwa kumpa mkono msanii mwenzake wa Kimataifa Mtanzani anaeishi nchini Marekani. Ray ambae alifanya kosa hili siku chache baada ya filamu ya Going Bongo iliyotengenezwa nchini Marekani na Tanzania  kuchukua tuzo kwenye maonesho ya Ziff na kuwa filamu bora Afrika Mashariki na Kati.
 MSANII na Staa wa filamu ya GOING BONGO Ernest Napoleon akizungumza na vyombo vya habari mbalimbali kuhusu ubora wa filamu yake hiyo ambayo hadi sasa imekwisha oneshwa zaidi ya nchi 7 Duniani na kuwa na mafanikio makubwa.
 MSANII na Staa wa filamu ya GOING BONGO Ernest Napoleon akiwa na wasanii wengine wenye ushirikiano huku wakimpongeza


 MSANII na Staa wa filamu ya GOING BONGO Ernest Napoleon akipokea tuzo hiyo.


 MSANII na Staa wa filamu ya GOING BONGO Ernest Napoleon akiwa kwenye moja ya vipande vya filamu hiyo full watoto wa kizungu
 Credit: Maskanibongotz




USIKU WA FIGISU FIGISU NI BALAA NDANIA YA MAISHA BASEMENT MAKUMBSHO, WANAWAKE WENYE NYONGA ZA AJABU KUTOA ROHO LIVE..!

BOFYA HAPO CHINI UONE DEMO YA FILAMU YA MSANII MANAIKI SANGA IITWAYO NGEMA AMBAPO WASANII ZAIDI YA 30 WAMETOANA JASHO VIKALI NA IKITARAJIA KUTOKA MWEZI WA NANE.
Wakati tunasubiria Utamu wa Figisu Figisu kesho, Leo jumanne ndani ya @maishabasement kwenye Usiku wa Meet and Greet tuna Bang Chini kwa Chini.. Ni balaa mpakaa saa hii kumesha hapen.

Sunday, July 26, 2015

MHH, GYM YA WATU WANAOFANYA MAZOEZI WAKIWA UCHI YAFUNGULIA JIJINI DAR IPO MAENEO YA MASAKI JIRANI NA SHULE MOJA MAARUFU...!


  Hii ndiyo Kufuru ya Filamu ya msanii Manaiki Sanga iitwayo Wake  Up aliyowashirikisha wasanii zaidi 30 mastaa wa Bongo Movie na tayari itasambazwa  na kampuni ya Steps na itatoka mapema mwezi wa nane.  

                               

Credit: Maskanibongotz