TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, July 31, 2014

MSANII ODAMA AWACHEFUA MASHABIKI WENGINE WAAPA KUTOANGLIA PICHA ZAKE ATAKAZOIGIZA, TIZAMA HAPA..!







Mashabiki wa msanii Odama wamemtolea uvivu msaniii huyo kwa kusema kuwa kuanzia sasa hawataangalia picha zake kutokana na malingo aliyokuwa nayo kwa mashabiki wake na jamii kwa ujumla. Odama ambae huwa hapokei simu yoyote licha ya kwamba mashabiki wengi wamekuwa wakitamani japo kumsalimia, wakiongea na Maskanibongotz mashabiki wa msanii huyo walisema" Kaka tunakwambia ukwelui Odama amekuwa msanii pekee mwenye malingo kwa watanzania bila kuelewa kama wanamfanya awe staa ni hao mashabiki wake  lakini cha kushangaza ni namna anavyowadharau" Alisema Happynes Magimba
Hat hivyo mtandao huu ulimtafuta msanii huyo ili kujibu tuhuma hizo lakini kwa bahati mbaya hakuweza kupatikana.

MZEE MGARI NA MSANII TRACYTRAVES WANASWA LIVE WAKIPEANA MALAVIDAVI SIKUKUU YA IDD, MAGARI ANG'AKA NA KUSEMA ATAFUNGA MTU KAMA PICHA HIZI ZITATOKA HEWANI ANGALIA BALAA HILI..!

 Msanii  wa bongo movie toka Tanga ambae kwa sasa amehamia Jijini Dar aliyefahamika kwa jina la  Brin Ernest Moshy " Tracytraves" ambae picha zake na msanii Thibias Mgari zimezusha balaa mitandaoni na inadaiwa wawili hao kuna jambo linaendelea kati yao.
  Tracytraves na Mgari picha hii pia imezusha maswali mengi kutokana na eneo husika ambalo linadaiwa ni Hotel huku wakiwa wawili tu.


Na Livingstone Mkoi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua wasanii Tracytraves na Mgari picha zao zikiwaonesha wakiwa kimahaba zimezusha balaa kubwa kwenye jamii kiasi cha kushtua wengi.
Picha hizo ambazo zinaonekana zilipigwa msimu huu wa sikukuu ya Idd katika Hotel moja maarufu iliyopo Zanzibar ambapo haikufahamika walikuwa ndani ya Hotel kwa kazi gani.
Mtandao huu mra baada ya kuzinasa picha hizo uliwatafuta wahusika wote wawili kwa ajili ya kuweka bayana ambapo mzee magari alikuwa wa kwanza kutafutwa na alijibu kama ifuatavyo"  Jamani kwani msanii siyo binadamu ambae anaweza kuwa karibu na mwanamke au kuna kwa vile amepiga mzee magari sio? Sasa natoa angalizo kama mtandao wowote utakaotoa picha hizo naushtaki haki ya Nani nakwambieni" Alisema mzee huyo
Upande wa Tracytraves alipotafutwa kupitia simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa hadi habari hii inaruka kiganjani.

MGANGA WA MASTAA NCHINI AMTABIRIA MAKUBWA ALLYKIBA, ASEMA ATARUDI KWENYE CHATI NA KUWA ZAIDI YA DIAMOND LAKINI ATOA ANGALIZO..!

 MGANGA WA MASTAA NCHINI NA WAFANYABIASHARA PAMOJA NA VIGOGO WA SERIKALI AKIWA NA VIFAA VYAKE KAZINI
MWANAMUZIKI ALLYKIBA AMBAE KWA SASA AMEREA KWA KASI KWENYE ANGA YA MUZIKI WA BONGO FLAVA BAADA YA KUPOTEA KWA MUDA HUKU MWANAMUZIKI DIAMOND AKIONEKANA KUWABURUZA WENZAKE.
Na Mwandishi Wetu
Mganga maarufu nchini na nje ya nchi kwa kutibu watu kutumia miti shamba tu ameibuka na kusema kuwa mwanamuziki Ally kiba mwaka huu ni wake na tayari atarejea kwenye ufalme wa bongo flava baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu.
Akiongea na blog hii Dokta Kamdege anaepatikana kwa simu namba 0788-844490, 0763-146231 alisema kuwa kiukweli Allykiba alikuwa amefunikwa na Diamond lakini kwa sasa ufalme wa Diamond unaelekea kuisha na tayari Allykiba ameanza kuonesha njia ya kurejea kwenye chati.

Mganga huyo ambae kwa muda mrefu amekuwa na uhudsiano na mwanamuziki Diamond pamoja na Penniel na kwa sasa anapatikana Jijini Dar ambako alikuja kwa mwaliko wa watu wa Dar na ameendelea kutoa uwito kwa wakazi wote kumuona mara moja kwani hivi karibuni ataelekea nchini Kenya ambako ameitwa huko.
Mganga huyo amekuwa akiwasaidia maelfu ya watanzania kwa kuwanyooshea mambo yao kutumia miti shamba ambao kwa waliokuwa hawana ajira licha ya kuwa walikuwa na elimu, wafanyabiashara wanaojitahidi kufanyakazi usiku na mchana lakini hakuna mafanikio wote kwa sasa wanacheka vicheko vya furaha.

Thursday, July 17, 2014

ANGALIA TUKIO LA AIBU KWA WAFUASI WA CCM VS CHADEM WALIVYOCHAFUA HALI YA HEWA, NAIBU WAZIRI MAKALLA AZOMEWA ...!



 Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge waliotaka kuzichapa ulipotokea mzozo katika mkutano wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla katika Uwanja wa Shule ya Mavurunza, Kata ya Salanga, Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam jana.
 Wafuasi wa CCM na Chadema wakitaka kuzipiga kavu kavu baada ya kutokea mzozo ambapo wanaCCM walikuwa wakimzomea Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika  akihutubia na WanaChadema wakimzomea Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla  akihutubia katika mkutano huo.
 Poilisi wakiwatuliza wafuasi wa Chadema waliokuwa wakipinga Mbunge wao John Mnyika asijibu swali lililoulizwa na Mkazi wa Kibamba, Jordan Balindo aliyemtaka Mnyika aeleze ni jitihada hani amezifanya binafsi kama mbunge kutatua changamoto ya ukosefu wa maji katika jimbo la Ubungo.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kushotona Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (Chadema), wakitofautiana jukwaani wakati Makalla akiamuru polisikuwatoa wafuasi wa Chadema waliokuwa wakimzomea wakati akileleza Utakelezaji wa Ilani ya CCM JUU YA MAJI, HUKU mNYIKA AKITAKA WAENDEE KUZOMEA AKIDAI KWAMBA WAZIRI HAKUFANYA HAKI KWANI YEYE ALIPOKUWA AKIZOMEWA NA WANA CCM HAKUWACHUKULIA HATUA KAMA HIYO KATIKA MKUTANO WA HADHARA ULIOFANYIKA KATIKA UWANJA WA SHULE YA MAVURUNZA, KATA YA SALANGA

 Mfuasi wa CCM  akiwa na bango la kumshutumu Mbunge wa Jimbo hilo, John Mnyika.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Taka, Dar es Salaam, EvaSinare (katikati) akijaribu kuunusuru mzozo huo kwa kuzungumza na Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla 9kushoto) na Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika. 
Mfuasi wa Chadema akiwa na bango la kuishutumu Serikali
 Polisi akilinda usalama mbele ya mashabiki wa CCM na Chadema
 Mbunge wa Jimbola Kinondoni, Idd Azzan akihutubia katika mkutano huo
 Wafuasi wanawake wa CCM na Chadema wakichimbia mkwara
 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akihutubia kwakueleza utekelezaji wa Ilani ya CCM, ambapo aliwahakikishia wananchi wa  jiji la Dares Salaam kwamba ifikapo mwishoni mwa mwaka ujao tatizo la maji litakuwa historia hasa baada ya kukamilika upanuzi wa Mtambo wa Maji wa Ruvu Juu ambao ujenzi wake umeanza sasa.
 Makalla akipata maelezo kutoka kwa mkandarasi kuhusu ujenzi wa Tanki jipya la maji eneo la Kibamba, Dares Salaam,wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maji Dares Salaam na Pwani.
 Mkazi wa Kibamba, Chrisant Kibogoyo akiuliza swalikatika mkutanouliofanyika Kata ya Kibamba.
 Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Kibwegere, Hellen Mshana akiuliza swali kwa waziri kwambanilini maji yatasambazwa katika shule hiyo na zinginezo
 Askari akimuondoa mfuasi wa Chadema aliyekuwa akilazimisha kumuuliza swali Waziri Makalla katika mkutano huo.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Maji Safi na Taka Dares Salaam, (Dawasco), Jackson Midalla akijibu moja ya maswali yaliyoulizwa na Diwani wa Kata ya Kibamba, Issa Mtemvu wakati Waziri Makalla, alipotembelea mradi wa maji katika kata hiyo.
Wafuasi wa CCM  na Chadema wakishindana kupeperusha bendera za vyama vyao wakiwakwenye magari eneo la Kibamba. 

MAAJABU YA KUTISHA, MTOTO WA MIAKA 4 ABAKWA NA JEMBA LA MIAKA 42 HUKO TANDARE UWANJA WA FISI, MTUHUMIWA AJIFANYA CHIZI NDANI YA MAHABUSU ILI POLISI WAMUACHIE...!

Huyu ni mtoto mwingine mwenye umri wa miaka 4 mkazi wa Tandale mtaa wa Muungano ambae siku ya Jumatatu wiki amebakwa na jemba lenye umri wa miaka 42. E-fm radio ambayo imekuwa karibu na jamii kwa 100% Jana jumatano ilikuwa na mahojiano ya moja kwa moja toka eneo la tukio na hata hivyo kituo hicho cha radio kimelaani vikali matukio ya aina hiyo na kulishauri jeshi la polisi nchini kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote wanafanya ukatili huu kwa watoto.
CREDIT: 93.7 EFM RADIO

Wednesday, July 16, 2014

MACHANGUDOA WA BRAZIL WAELEZA MAPATO WALIYOVUNJA KWENYE MSIMU WA KOMBE LA DUNIA.










Hii ndiyo hali halisi ilivyokuwa msimu wa fainali za kombe la Dunia 2014 nchini Brazil ambapo machangudo hao wamefunga mahesabu kwa kazi waliyokuwa wanaifanya ambapo wapo walijipatia pesa nyingi hasa wale walijifunza lugha ya kiingereza. CREDIT XDEEJAYZ TANZANIA.

Tuesday, July 15, 2014

KHA JAMANI, MZEE WA MIAKA 50 AMBAKA MTOTO WA MIAKA 10 ALIMKAMATA AKIWA ANATOKA SHULE NA KUMNANI KWENYE JUMBA BOVU...!

 Mtoto anae soma darasa la nne shule ya msingi Makamba iliyopo Mbezi Makabe Jijini Dar ambae amebakwa na mzee wa miaka 50 kwenye jumba bovu.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua wakazi wa Jiji la Dar na vitongoji vyake jana wameshikwa na butwaa mara baada ya kumsikia mtoto mdogo mwenye umri wa miaka kumi akielezea namna alivyobakwa na mzee mwenye umri wa miaka hamsini huko Mbezi Makabae.
Tukio hilo ambalo kwa mara ya kwanza liliruka jana kwenye kituo cha 93.7 E-FM RADIO  lililotokea Ijumaa iliyopita na kulipotiwa kituo cha polisi Mbezi makabe na kupewa jarada namba MKB/RB/232/2014 na muda mchache mara baada ya tukio hilo E-FM ilifika eneo la tuki na kushuhudia umati mkubwa wa wananchi wenye ghazabu ambao walitangaza kiama cha kumska mtuhumiwa ambae mara baada ya kutenda kosa hilo alikimbia huku Jeshi la Polisi likimtafuta kwa udi na uvumba.
CREDIT: E-FM RADIO 93.7 DSM

HIVI NDIVYO CHEMSHA BONGO YA SAKASAKA YA TSH MILIONI MOJA ILIVYOFANA WILAYA YA TEMEKEA, E-FM YAPONGEZWA KWA KUWAWEKA MASHABIKI KARIBU..!

 Wananchi wakisaka saka milioni moja kwenye viwanja vya ZAKHEM mwishoni mwa wiki iliyopita.
  Ilikuwa kazi ngumu sana ambapo baadhi ya watu walifika saa tisa za usiku kwenye viwanja hivyo kwa ajili ya kuisaka milioni moja iliyokuwa imefichwa.

  Jamaa aliyefanikiwa kukipa kifuu ambacho kilikuwa kiwakilishi cha milioni moja

  Mshindi huyo akiwa kwenye studio ya E-FM pamoja na mkewe mara jana Jumatatu.

 Mtangazaji wa E-FM wa kipindi cha Joto Sebo akiwa kwenye picha ya pamoja na msindi pamoja na mkewe.


  Radio Meneja Ndg Dickson Mponela " Big Dad Dizo" akimkabidhi kitita cha pesa mshindi huyo huku mkewe akishuhudia tukio hilo.