TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, October 31, 2013

MWALIMU WA THT ALA SHAVU LA KUCHALAZA GITAA KWENYE WIMBO MPYA WA MSANII SNURA

 

 Moja kati ya walimu wakubwa wa kukuza vipaji mbalimbali kutoka tanzania house of talent (tht) Maalufu kama TEACHER amepata shavu kubwa la kuchalaza gitaa katika wimbo mpya wa msanii anaetamba na ngoma yake ya nimevurugwa mwiite snura mamaa majanga, akiongea na blog hii ya burudani manager wa msanii  snura amesema Ameamua kumuweka teacher katika wimbo mpya wa snura hili kuleta radha zaidi na tofauti katika nyimbo za msanii wake pia alisema wimbo huu ameufanya katika studio za CHAIDAZ REC chini ya producer mahiri ABBY DADDY, hili kupata radha tofauti na nyimbo za mwanzo za snura ,
 Meneja amezungumzia video mpya ya snura ya nimevurugwa ambayo itatoka hivi karibuni ambayo wananchi wakae mkao wakula na kupata kionjo kidogo cha wimbo mpya wa ushaharibu katika video hiyo ya nimevurugwa.


 TICHA akifanya mambo yake katika studio za CHAIDAZ REC zilizopo MIKOCHENI DSM,


AJIKATA UUME WAKE NA PANGA BAADA YA KUGUNDULIKA HANA UKIWMI, ASEMA ALIKUWA NA REKODI MBAYA KUDHINI, ASEMA WANAWAKE ALIOTEMBEA NAO WANAJAA DCM 4 NA WENGINE WANANING'NIA, HIVYO HAKUDHANI KAMA ANGEUKUTWA MZIMA!



 HAYA NDIYO MAAJABU YA XTREME DEEJAYZ NDANI CLUB MAISHA DODOMA JUMAMOSI HII USINGOJE KUSIMULIA FIKA UONE LIVE DJ DRUMMER KWA MARA YA KWANZA MKOANI HUMO!!!

Baada ya kujikata kiungo hicho muhimu katika mwili wa mwanaume, mchina huyo Yang Hu mwenye miaka 26 aligundua kwamba haikuwa ndoto ni kweli ameukataa uume wake, ndipo alipochukua baiskeli yake na kukimbia hospitali kwa matarajio ya kwenda kuunganishiwa kiungo chake alichokikata mwenyewe. 
 
Sipati picha aliwezaje kunyonga ‘pedal’ za baiskeli yake mpaka hospitali ilihali maumivu makali aliyokuwa nayo, lakini mbaya zaidi kutokana na kuchanganyikiwa kwa alichokifanya, baada ya kufika hospitali ndipo ndoto zake zikazidi kufifia baada ya madakrati kumueleza kuwa amesahau kuja na kiungo hicho ili kirudishiwe sehemu yake.
 
Aidha habari nyingine zilisema kuwa Yang Hu amekuwa na rekodi mbaya sana ya ufirauni ambapo ilidaiwa kuwa ameshatembea na idadi kubwa ya wanawake ambapo kama wakiongozana wanafika mita elfu moja au wanajaa mabasi aina ya DCM manne na wengine wataning'inia hivyo baada ya kutoka kupima HIV na kukutwa mzima akaamua kukata na kisu uume wake ili isifanye kazi tena.


JUMAMOSI YA FURAHA NDANI YA CLUB MAISHA DODOMA WIKI HII!

MATUKIO YA KUSHANGAZA YA MAZISHI YA BABA NA WEMA SEPETU, AZIKWA KWA HESHIMA ZOTE LICHA KUWA ALIHANGAIKA BILA MSAADA WOWOTE!!

SIKU 1 NA MASAA KADHAA ZIMEBAKI ILI KUFIKIA ILE SHOW ILIYOKUWA INASUBIRIWA KWA HAMU NA MAELFU YA WAKAZI WA MJI WA DODOMA NA VITONGOJI VYAKE, NI LIVE DJ DRUMMER NDANI YA CLUB MAISHA JUMAMOSI HII YA TEREHE 2/11/2013 NI BALAA KUBWA WABUNGE WA VYAMA VYOTE WAUNGANA KUPISHA SHOW HIYO!!!
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, alipokuwa akiuaga Mwili wa Marehemu Balozi Isaac Sepetu, katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani, Mnazi mmoja Mjini Unguja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimpa pole Mjane wa Marehemu Balozi Isaac Sepetu,Mama Miriam Sepetu,alipofika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani,Mnazi mmoja Mjini Unguja, kuuaga mwili wa Marehemu.
Ibada ya Kuuombea Mwili wa Marehemu Sepetu  ikiendelea kwenye Kanisa la Minara Miwili Zanzibar
Baadhi ya watoto wa marehemu Balozi Sepetu wakisikiliza neno la mungu
Wema Sepetu(Aliyesimama Kushoto) akiwa kanisani kwenye maombezi ya baba yake mzazi 



Baadhi ya Wananchi mbali mbali wakiwa katika sehemu maalum nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani, Mnazi mmoja Mjini Unguja,wakisubiri kuuaga mwili wa Marehemu Balozi Isaac Sepetu, ambapo utazikwa Kijiji kwao Mbuzini Wilaya Magharibi.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. akisalimiana na Padri wa Kanisa Katoliki la Minara miwili Mjini Zanzibar, Cosmas Amani Shayo,  alipowasili katika eneo la Mazishi ya Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu, yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa na viongozi wengine akiwemo Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.Mohamed Gharib Bilali,katika Mazishi ya Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana
Jeneza la Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,likiwa limebebwa na Askari Polisi na kulifikisha katika kaburi lake yalipofanyika mazishi kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.
 Padri wa Kanisa Katoliki la  Minara miwili Mjini Zanzibar Cosmas Amani Shayo, akiuombea mwili wa marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.
 
---------------------
Rais wa Zanzibar,Dk Ali Mohammed Shein, jana aliwaongoza mamia ya waombolezaji katika maziko ya mwanasiasa na mwanadiplomasia mkongwe Marehemu

Balozi Issack Abraham Sepetu (71),aliyezikwa katika Kijiji cha Mbuzini,Mkoa wa Kusini Unguja jana Alasiri.
 

Viongozi wengine waliohudhuria mazishi hayo ni pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohamed Gharib Bilal pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
 

Mapema mwili wa Balozi Sepetu uliagwa na waombolezaji wakiongozwa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi na viongozi mbalimbali wa Serikali na vyama vya siasa shughuli ambayo ilifanyika katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi uliopo eneo la Kikwajuni katika Manispaa ya Zanzibar kabla ya misa maalumu iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Joseph katika Mtaa wa Shangani.
 

Watoto wa marehemu, Amani,Mkusa, Wema na wengineo walikuwapo katika shughuli hiyo iliyohudhuriwa na Balozi mstaafu, Ali Abeid Karume, ambaye alisema marehemu ameacha pengo kubwa katika jamii kwani alikuwa kiongozi makini na mzalendo aliyelipenda taifa lake.
 

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,Vuai Ali Vuai,alimwelezea marehemu kama mwasisi wa mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa kisiasa Zanzibar wakati juhudi hizo zilipoanza mara ya kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa kwanza wa vyama vingi visiwani mwaka 1995 kupitia kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo, Chifu Emeka Anyaoku.

HAYA NDIYO MAAJABU YA XTREME DEEJAYZ NDANI CLUB MAISHA DODOMA JUMAMOSI HII USINGOJE KUFIMULIA FIKA UONE LIVE DJ DRUMMER KWA MARA YA KWANZA MKOANI HUMO!!!

KAMANDA KOVA AKUMBANA NA SHURBA NZITO , POLISI WAHAHA KUMNISURU BILA MAFANIKIO WANANCHI WAMUONEA HURUMA!

MJI MZIMA WA DODOMA WAZIZIMA KUSUBIRI TUKIO MOJA SHOW MOJA NDANI YA CLUB MAISHA DODOMA NI JUMAMOSI HII YA TEREHE 2/11/2013, WAREMBO ZAIDI YA ELF MBILI TOKA VYUO VYOTE VYA DODOMA,MOROGORO NA SINDIDA WAPANIA KUFUNIKANA!!!



Na Sakina Shabani
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua leo asubuhi Kamanda wa Polisi Kanda Maalum amekumbana msukosuko wa aina yake baada ya kukumbana na anza ya foleni kubwa kiasi cha kutamani kushuka ili atembee kwa miguu kuwahi kazini.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na paparazi wetu wa Xdeejayz na lilitokea maeneo ya Kinondoni Makaburini ambapo kamanda huyo alikuwa anatokea maeneo ya kwa Manyanya kuelekea mjini akiwa kwenye gari yake iliyokuwa na namba za usajili PT 1574 Landcruser.
Habari zaidi zilisema kamanda Kova licha ya dereva wake  kupenye penya pembezoni mwa barabara lakini alipofika kwenye ukuta wa makaburi alishindwa kabisa kupenya kuamia kuzima gari kabisa kutokana na foleni kutotembea kabisa.
Aidha Xdeejayz ilishuhudia trafic wakihangaika kumnasua katikati ya magari bosi wao huyo lakini bila mafanikio ambapo hadi Xdeejayz inaondoka eneo hilo ilimuacha kamanda huyo akiwa hana jinis huku trafic kadhaa wakiwa wamzunguka.
DODOMA KULIPUKA KWA BURUDANI JUMAMOSI HII NDANI YA CLUB MAISHA XTREEM DEEJAYZ KUFANYA KUFURU KUBWA!!!

MENEJA WA MSANII SNURA AKOSWAKOSWA NA RISASI KISA DEMU

 

XTREM DJ WAWAWEKA ROHO JUU WAKAZI WA DODOMA NA VITONGOJI VYAKE KILA KONA YA MJI STORI NI LIVE DJ DRUMMER ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI HII NDANI YA CLUB MAISHA, WAHESHIMWA WABUNGE WASITISHA MAPUNZIKO KUSUBIRI XTREME KUKAMILISHA BURUDANI HIYO!
 hapa akiwa anamvia mtoto getini kwa mzee jengua wakatia alishapigwa marufuku kusogea katika nyumba hiyoooo
 akichungulia bila mafanikio na simu haipokelewi
 ngoja nitume msg tuone itakuwaje
 Mara mtoto huyu kaja kwa mnyamwenzi hk, huku akijidogodesha
 full malavidavi
 Mz jengua bastola mononi
 kaanza na mlinzi baada ya kumkosa mtuhumiwa wake



 hapa rose ndauka akijitaarisha kutengeneza mazingira ya kuwa na mnyama mkali hk
 director camera man CHIWA
 Baada yakukimbizwa na bastola na mzazi wake sasa na yeye anaamua kumtimua demu wake asije kumfanya akafa kisa mapenzi full kuwakimbiza.

 ukitaka kujua kilichokuwa kitaongelewa hapa usikose filamu hiiii
 rose ndauka unajua kwanini amekuwa chizi kwenye filamu hiii usikose ikitoka
hapo kama tukishooo love na mzeee jengua usikose hii kitu ikitoka hatari sana.

XTREME JEEJAYZ YAWAUNGANISHA WABUNGE WA CHADEMA NA CCMA, WASITISHA KURUDI MAPUMNZIKO KUSUBIRI KUSHUHUDIA LIVE DJ DRUMMER, CLUB MAISHA DODOMA YAWATENGEA SEHEMU MAALUM WAHESIMIWA WOTE!

NI JUMAMOSI YA MSHANGAO NDANI YA CLUB MAISHA NA LIV DJ DRUMMER, ZUNGU MNYAMA AAHIDI KUWAHENYESHWA WAHESHIMIWA WABUNGE NON STOP!


Na Sakina Shabani
Jumamosi ya tarehe 2 mwezi Novemba ni siku ya kukumbukwa kwa wakazi wa mji wa Dodoma na vitongoji vyake kufuatia kufanyika burudani tofauti ambayo haijawahi tokea tangu mkoa huo ambao ni makao makuu ya nchi yetu,
Habari  zilizoshuka kwenye mtandao huu toka kwa meneja Club Maisha Dodoma Dizzo Ismail alisema" Tunaweza kusema kuwa hapa Mkoani Dodoma hakuna stori nyingine zaidi ya mazungumzo yote ni kuhusu Live Dj Drummer itakayofanyika keshokutwa hapa hapa Club Maisha" Alismea  Dizzo
Aidha Dizzo alisema show hiyo imewaunganisha Waheshimiwa Wabunge wa vyama vyote vya upinzani tawala na wadau wote ambapo waheshimiwa hao wanasubiri kushuhudia tukio hilo la vijana wa Xtreme toka Jijini Dar ambao wanaanza kuwasili kesho mkoani hapa kwa ajili ya kufunga mitambo.
Katika hatua nyingine waheshimiwa hao ambao kwa kawaida siku za wikiendi huwa wanarejea makwao baada ya kikao kuwa mapunziko kupisha wikiendi lakini safari hii kwa heshima tu waheshimiwa hao wamegoma kurudi makwao kwa ajili ya kushiriki kwenye burudani hiyo ambayo kimsingi itawaweka akili sawa kabla ya Jumatatu kuendelea na vikao vya bunge.
Dizzo alimaliza kusema wamewaandalia sehemu maalum waheshimwa hao hivyo wanaruhusiwa kuja wote kadri watakavyojaliwa na mwenyezi Mungu kwani licha ya kuwa na mambo mengi ya kufikieia lakini burudani ni sehemu ya kuiongezea akili uwezo kufikiri zaidi. 
Aidha kwa upande wa Dar es salaam meneja msafara huo Hemed Kavu aliiambia blog hii kuwa " Kuna timu mbili ambapo kesho Ijumaa ataanza kuondoka afsa habari mkuu wa Xtreme Deejayz Tanzania Livingstone Mkoi pamoja na mafundi mitambo wa DTV ambapo hao wametangulia kwa ajili ya kuweka sawa mambo madogo madogo, na timu ya pili itaondoka Jumamosi asubuhi mara baada ya kumaliza kutoa burudani huku kwenye Club Maisha Dar" Alisema HK

MSANII NYOTA WA BONGO MOVIE ACHEZEWA NYETI ZAKE MCHANA KWEUPE NA WASANII WACHANGA, ISHU YAFIKA MEZANI KWA MKEWE MBONA PANUKA VIBAYA!!!

IMEBAKI SIKU MOJA TU KABLA YA KUFANYIKA TUKIO LA KUKUMBUKWA NDANI YA CLUB MAISHA DODOMA, WAKAZI WA SINGIDA, DODOMA, MOROGORO WAPENDA BURUDANI WAANZA KUPANDISHA HOMA, MITAMBO YA XTREME DEEJAYZ KUANZA KUTUA KESHO MCHANA!

Na Sakina Shabani

Mmh wimbo la mastaa wetu kuendelea kujishushi hadhi linaendelea kushika kasi kila kukicha huku hakuna sheria zozote zinazochukuliwa dhidi yao.

Msanii nyota toka kiwanda cha bongo movie Edward Tem "Nick" picha zake za utupu zaidi 200 zimenaswa na mtandao huu hatari wa xdeejayz  zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake.

Xdeejayz wiki kdhaa za nyuma iliwahi kushushiwa picha za fumanizi la msanii huyo dhidi ya msanii wake wa kike ambae alifumaniwa nae maeneo ya Kawe Jijini Dar ambapo sakata hili liliishia kituo cha Polisi Hananasifu baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.

Chanzo chetu kiliendelea kusema kuwa picha hizi za utupu zilipigwa siku nyingi kabla ya hilo fumanizi na zimevuja kutoka kwenye kamera yake mara baada ya kupotea ambapo blog hii ilifanya jitahada za kumtafuta msanii huyo kupitia simu yake ya kiganjani lakini kwa bahati mbaya hakuweza kupatikana.

Msanii huyo ambae sasa hivi ameachia filamu zake kama Bad Father,The,re ma sons, House Girl na Boss ambapo kati ya filamu hizo moja tu ndiyo iliyopelekwa kampuni ya Pilipili Entertainment ya Bad Father